Isaya 37:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana kutakuwa na watu watakaosalia huko Yerusalemu; naam, huko mlimani Siyoni kutakuwako watu wachache watakaosalimika.” Mwenyezi-Mungu wa majeshi amedhamiria kukamilisha hayo.

Isaya 37

Isaya 37:24-38