Isaya 31:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Waashuru watauawa kwa upanga,lakini si kwa upanga wa binadamu;naam, wataangamizwa kwa upangaambao ni zaidi ya ule wa binadamu.Waashuru watakimbiana vijana wao watafanyizwa kazi za kitumwa.

Isaya 31

Isaya 31:2-9