Isaya 24:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila mtu atapatwa na mambo yaleyale:Mtu wa kawaida na kuhani;mtumwa na bwana wake;mjakazi na bibi yake;mnunuzi na mwuzaji;mkopeshaji na mkopaji;mdai na mdaiwa.

Isaya 24

Isaya 24:1-11