Isaya 10:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, hata kama sasa Waisraeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaorudi. Maangamizi yamepangwa yafanyike, nayo yatafanyika kwa haki tupu.

Isaya 10

Isaya 10:13-23