1. “Pigeni baragumu!Adui anakuja kama taikuivamia nyumba ya Mwenyezi-Mungu,kwa kuwa wamelivunja agano languna kuiasi sheria yangu.
2. Waisraeli hunililia wakisema:‘Mungu wetu, sisi tunakujua.’
3. Lakini Israeli amepuuza mambo mema,kwa hiyo, sasa adui watamfuatia.