Hosea 8:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Pigeni baragumu!Adui anakuja kama taikuivamia nyumba ya Mwenyezi-Mungu,kwa kuwa wamelivunja agano languna kuiasi sheria yangu.

2. Waisraeli hunililia wakisema:‘Mungu wetu, sisi tunakujua.’

3. Lakini Israeli amepuuza mambo mema,kwa hiyo, sasa adui watamfuatia.

Hosea 8