Hosea 14:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Ashuru haitatuokoa,hatutategemea tena farasi wa vita.Hatutaviita tena: ‘Mungu wetu’hivyo vinyago tulivyochonga wenyewe.Kwako ee Mungu yatima hupata huruma.”

Hosea 14

Hosea 14:1-9