Hosea 10:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mahali pa kuabudia vilimani pa Aweni,dhambi ya Waisraeli, pataharibiwa.Miiba na magugu vitamea katika madhabahu zao.Nao wataiambia milima, “Tufunikeni”na vilima, “Tuangukieni!”

Hosea 10

Hosea 10:2-15