Hesabu 9:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa agizo la Mwenyezi-Mungu walipiga kambi na kwa agizo la Mwenyezi-Mungu walisafiri. Walishika agizo la Mwenyezi-Mungu kama alivyotoa amri yake kwa njia ya Mose.

Hesabu 9

Hesabu 9:16-23