Hesabu 9:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Walisafiri kwa amri ya Mwenyezi-Mungu, na kupiga kambi tena kwa amri yake. Muda wote wingu hilo lilipokuwa juu ya hema, watu walikaa katika kambi hiyo.

Hesabu 9

Hesabu 9:14-19