Hesabu 9:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha mnamo mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka Misri, Mwenyezi-Mungu aliongea na Mose katika jangwa la Sinai. Alimwambia:

2. “Waisraeli sharti waiadhimishe sikukuu ya Pasaka wakati uliopangwa.

Hesabu 9