Hesabu 8:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivi ndivyo utakavyowatakasa: Wanyunyizie maji ya kutakasia kisha uwaambie wajinyoe mwili mzima, wafue nguo zao na kujitakasa.

Hesabu 8

Hesabu 8:6-15