Hesabu 8:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Walawi wakajitakasa dhambi na kuzifua nguo zao, naye Aroni akawatoa kama sadaka ya kutikiswa mbele ya Mwenyezi-Mungu. Pia, Aroni alifanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.

Hesabu 8

Hesabu 8:18-24