Hesabu 6:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Atamtolea Mwenyezi-Mungu huyo kondoo kama tambiko ya amani, atamtoa pamoja na kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, sadaka ya nafaka na ya kinywaji.

Hesabu 6

Hesabu 6:10-18