Hesabu 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

“Waambie Waisraeli kuwa: Mtu yeyote, mwanamume au mwanamke akitenda dhambi dhidi ya mtu, akakosa uaminifu kwa Mwenyezi-Mungu, mtu huyo ana hatia;

Hesabu 5

Hesabu 5:1-14