Hesabu 5:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu kuhani atamwapisha mwanamke huyo akisema: ‘Ikiwa hukulala na mwanamume mwingine, ukajitia najisi hali uko chini ya mamlaka ya mumeo, basi, hutapatwa na laana iletwayo na maji haya machungu.

Hesabu 5

Hesabu 5:11-24