Hesabu 4:5 Biblia Habari Njema (BHN)

“Wakati wa kuvunja kambi, Aroni na wanawe wataingia katika hema, na kulishusha pazia lililoko mbele ya sanduku la agano, kisha walifunike kwa pazia hilo.

Hesabu 4

Hesabu 4:3-13