Hesabu 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)

“Halafu watatandaza kitambaa cha buluu juu ya madhabahu ya dhahabu na kuifunika kwa ngozi laini ya mbuzi juu yake. Halafu wataingiza mipiko yake ya kuichukulia.

Hesabu 4

Hesabu 4:3-16