Hesabu 35:30 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mtu yeyote atakayeua mtu, atahukumiwa kifo kutokana na ushahidi wa mashahidi wawili au zaidi; mtu yeyote hawezi kuhukumiwa kifo kutokana na ushahidi wa mtu mmoja.

Hesabu 35

Hesabu 35:20-34