Hesabu 35:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana huyo aliyeua ni lazima akae ndani ya mji wa makimbilio mpaka kuhani mkuu atakapofariki; lakini baada ya kifo cha kuhani mkuu anaweza kurudi nyumbani.

Hesabu 35

Hesabu 35:27-32