Hesabu 35:21 Biblia Habari Njema (BHN)

au kwa kumpiga ngumi akafa, basi mtu huyo aliyempiga mwenzake ni mwuaji na ni lazima auawe. Jamaa wa karibu wa mtu aliyeuawa atalipiza kisasi atakapokutana naye.

Hesabu 35

Hesabu 35:18-31