Hesabu 35:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Miji hii itakuwa ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli na wageni wa kudumu au wa muda wanaokaa pamoja nao. Mtu yeyote akimuua mwingine bila kukusudia anaweza kukimbilia huko.

Hesabu 35

Hesabu 35:13-16