Hesabu 34:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Waamuru Waisraeli ukisema: Mtakapoingia Kanaani, nchi ambayo ninawapa iwe nchi yenu, mipaka ya eneo lenu lote itakuwa kama ifuatavyo.

Hesabu 34

Hesabu 34:1-4