Hesabu 34:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mose akawaambia Waisraeli, “Hii ndiyo nchi mtakayoirithi kwa kupiga kura, nchi ambayo Mwenyezi-Mungu ameagiza yapewe makabila tisa na nusu.

Hesabu 34

Hesabu 34:10-20