Hesabu 33:55 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama msipowafukuza wenyeji wa nchi hiyo kwanza, basi wale mtakaowaacha watakuwa kama vibanzi machoni mwenu au miiba kila upande, na watawasumbua.

Hesabu 33

Hesabu 33:52-56