Hesabu 33:18-24 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Kutoka Haserothi, walipiga kambi yao huko Rithma.

19. Kutoka Rithma, walipiga kambi yao huko Rimon-perezi.

20. Kutoka Rimon-perezi, walipiga kambi yao huko Libna.

21. Kutoka Libna walipiga kambi yao Risa.

22. Waliondoka Risa, wakapiga kambi yao huko Kehelatha.

23. Kutoka Kehelatha, walipiga kambi yao kwenye Mlima Sheferi.

24. Kutoka Mlima Sheferi walipiga kambi yao huko Harada.

Hesabu 33