15. Waliondoka Refidimu wakapiga kambi yao katika jangwa la Sinai.
16. Kutoka Sinai walipiga kambi yao huko Kibroth-hataava.
17. Kutoka Kibroth-hataava, walipiga kambi yao huko Haserothi.
18. Kutoka Haserothi, walipiga kambi yao huko Rithma.
19. Kutoka Rithma, walipiga kambi yao huko Rimon-perezi.