Hesabu 33:15-18 Biblia Habari Njema (BHN)

15. Waliondoka Refidimu wakapiga kambi yao katika jangwa la Sinai.

16. Kutoka Sinai walipiga kambi yao huko Kibroth-hataava.

17. Kutoka Kibroth-hataava, walipiga kambi yao huko Haserothi.

18. Kutoka Haserothi, walipiga kambi yao huko Rithma.

Hesabu 33