Hesabu 33:14-26 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Kutoka Alushi walipiga kambi yao huko Refidimu, ambapo hapakuwa na maji ya kunywa.

15. Waliondoka Refidimu wakapiga kambi yao katika jangwa la Sinai.

16. Kutoka Sinai walipiga kambi yao huko Kibroth-hataava.

17. Kutoka Kibroth-hataava, walipiga kambi yao huko Haserothi.

18. Kutoka Haserothi, walipiga kambi yao huko Rithma.

19. Kutoka Rithma, walipiga kambi yao huko Rimon-perezi.

20. Kutoka Rimon-perezi, walipiga kambi yao huko Libna.

21. Kutoka Libna walipiga kambi yao Risa.

22. Waliondoka Risa, wakapiga kambi yao huko Kehelatha.

23. Kutoka Kehelatha, walipiga kambi yao kwenye Mlima Sheferi.

24. Kutoka Mlima Sheferi walipiga kambi yao huko Harada.

25. Kutoka Harada, walipiga kambi yao huko Makelothi.

26. Kutoka Makelothi, walipiga kambi yao huko Tahathi.

Hesabu 33