Hesabu 33:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Vifuatavyo ni vituo ambavyo Waisraeli walipiga kambi walipotoka Misri wakiwa katika makundi ya makabila yao chini ya uongozi wa Mose na Aroni.

Hesabu 33

Hesabu 33:1-3