Hesabu 32:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao walikwenda hadi bonde la Eshkoli, wakaiona nchi, lakini waliporudi, waliwavunja moyo Waisraeli ili wasiingie katika nchi aliyowapa Mwenyezi-Mungu.

Hesabu 32

Hesabu 32:6-10