Hesabu 31:54 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mose na kuhani Eleazari wakaipokea dhahabu hiyo kutoka kwa makamanda wakaipeleka katika hema la mkutano, iwe ukumbusho wa Waisraeli mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Hesabu 31

Hesabu 31:51-54