Hesabu 31:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Wote wale walio miongoni mwenu ambao wameua mtu au kugusa maiti ni lazima wakae nje ya kambi kwa muda wa siku saba; jitakaseni pamoja na mateka wenu katika siku ya tatu na ya saba.

Hesabu 31

Hesabu 31:14-29