Hesabu 31:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kumbukeni kwamba wanawake ndio waliofuata shauri la Balaamu, wakasababisha Waisraeli wamwasi Mwenyezi-Mungu kule Peori hata maradhi mabaya yakawajia watu wake Mwenyezi-Mungu.

Hesabu 31

Hesabu 31:13-26