Hesabu 30:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama mume wake akisikia jambo hilo akampinga, basi huyo mumewe atabatilisha nadhiri ya mkewe na tamko lake alilotoa bila kufikiri; naye Mwenyezi-Mungu atamsamehe.

Hesabu 30

Hesabu 30:4-9