Hesabu 30:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake.

Hesabu 30

Hesabu 30:1-9