Hesabu 30:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini ikiwa mumewe hatasema neno lolote tangu siku atakaposikia habari za nadhiri au ahadi za mkewe, basi atakuwa amezithibitisha siku hiyo alipopata habari zake kwa sababu hakusema chochote.

Hesabu 30

Hesabu 30:6-16