Hesabu 28:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hii ni sadaka ya kutolewa kila siku inayoteketezwa kabisa motoni, ambayo ilitolewa kwa mara ya kwanza mlimani Sinai kama sadaka ya chakula, harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu.

Hesabu 28

Hesabu 28:5-10