Hesabu 28:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtatoa sadaka ya kuteketezwa kama sadaka ya chakula kwa Mwenyezi-Mungu: Fahali wachanga wawili, kondoo dume mmoja, wanakondoo madume saba wa mwaka mmoja, wote wawe bila dosari.

Hesabu 28

Hesabu 28:17-28