Hesabu 28:11 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwanzoni mwa kila mwezi, mtamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka ya kuteketezwa: Fahali wadogo wawili, kondoo dume mmoja na, wanakondoo saba madume wa mwaka mmoja, wasio na dosari.

Hesabu 28

Hesabu 28:7-19