Hesabu 27:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akafanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Alimtwaa Yoshua na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na jumuiya yote ya Waisraeli.

Hesabu 27

Hesabu 27:14-23