Hesabu 25:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Waisraeli walipokuwa huko Shitimu, wanaume walianza kuzini na wanawake wa Moabu.

2. Wanawake hao waliwaalika Waisraeli washiriki matambiko waliyotambikia miungu yao, nao Waisraeli wakala chakula na kuiabudu miungu yao.

Hesabu 25