Hesabu 24:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Balaki akawaka hasira dhidi ya Balaamu, akakunja mikono kwa ghadhabu na kumwambia, “Nilikuita uwalaani adui zangu, lakini mara hizi zote tatu umewabariki!

Hesabu 24

Hesabu 24:3-17