Hesabu 23:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Balaki akamwambia Balaamu, “Twende mahali pengine ambapo utaweza kuwaona; hata hivyo utaona tu sehemu yao, hutaweza kuwaona wote. Kisha uwalaani kutoka huko kwa niaba yangu.”

Hesabu 23

Hesabu 23:6-20