Hesabu 22:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Balaamu akawaambia, “Laleni huku usiku huu, nami nitawajulisheni atakayoniambia Mwenyezi-Mungu.” Basi, wazee hao wa Moabu wakakaa na Balaamu.

Hesabu 22

Hesabu 22:1-18