Hesabu 22:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwambia Balaamu, “Nenda na watu hawa, lakini utasema tu kile nitakachokuambia.” Basi, Balaamu akaendelea na safari pamoja na viongozi wa Balaki.

Hesabu 22

Hesabu 22:32-41