Hesabu 22:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Punda alipomwona malaika huyo wa Mwenyezi-Mungu, akajisukumiza ukutani na kuubana mguu wa Balaamu hapo. Kwa hiyo Balaamu akampiga tena huyo punda.

Hesabu 22

Hesabu 22:16-29