Hesabu 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa shaba, umtundike juu ya mlingoti. Mtu yeyote atakayeumwa na nyoka, akimtazama nyoka huyo wa shaba, atapona.”

Hesabu 21

Hesabu 21:1-13