Hesabu 21:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakaanza kumnungunikia Mungu na Mose, wakisema, “Kwa nini mmetutoa Misri tuje tukafie humu jangwani? Humu hamna chakula wala maji; nasi tumechoshwa na chakula hiki duni.”

Hesabu 21

Hesabu 21:4-6