Hesabu 21:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Heshboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye hapo awali alikuwa amepigana na mfalme wa Moabu na kuiteka nchi yake yote mpaka mto Arnoni.

Hesabu 21

Hesabu 21:19-28