Hesabu 20:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli wakamwambia, “Sisi tutafuata njia kuu; kama sisi na mifugo yetu tukinywa maji yenu, tutalipa. Tunachoomba tafadhali turuhusu tu, tupite kwa miguu wala hatutaki neno lolote lingine.”

Hesabu 20

Hesabu 20:16-27